Rashford anaweza kupoteza kama 100% ya pesa za udhamini anazopokea kutoka kwa Nike kwasababu kampuni hiyo kubwa ya mavazi ya michezo inaichukulia Aston Villa kama kitengo cha chini cha klabu kuliko United . Nike pia inaweza kumuomba alipe kiasi cha ada za kusaini. (Mail Plus -Subscription required)
EmoticonEmoticon