Friday, 23 June 2017

Msikie Alichokisema Bailly dhidi ya United

Tags


BEKI wa Manchester United, Eric Bailly amesema kwamba ulikuwa uamuzi sahihi kwake kutua kwenye mikono ya Jose Mourinho na kukataa ofa nyingine zilizoletwa mbele yake. 

Bailly amefichua kuwa kabla ya Jose Mourinho kumwitaji, alishapewa ofa nyingi za kutua Etihad. Beki huyo raia wa Ivory Coast anaweza kuwa kwenye wakati mgumu msimu ujao baada ya klabu hiyo kumsajili beki mwingine, Lindelof.



EmoticonEmoticon